Kama unataka kupata hati ya nyumba yako ambayo ipo katika
maeneo ambayao hayajapimwa, kitaalamu tunayaita "maeneo ya
mazagazaga" ama slums na siyo squatter kama watu wengi wanavyosema.
Mambo ya msingi ili upate hati ni kama ifuatavyo:-
1.Eneo lako inatakiwa liandaliwe TP drawing "Town Planning drawing" =1,200,00
2.Lipimwe "surveyed" =2,000,000
3.ulipie gharama zifuatazo
- Fees for preparation of certificate of occupancy =10,000
- Registration fees =5000
- Stamp duty =3000
Baada ya hapo unatakiwa uwe na nyaraka zifuatazo ambazo manispaa yako watakupatia wakati wa kukumilikisha kiwanja
-Land form No. 19 inalipiwa 5000
-Barua inayoelezea historia ya kiwanja
-Acknowledgement letter kwa ajili ya malipo ya serikali uliyolipia
-Cheti cha kuzaliwa au kitambulisho cha uraia
Ukikamilisha mambo hayo afisa ardhi mteule wa manispaa yako ataandaa rasimu ya hati na kuiwasilisha kwa kamishna, kamishna ataisaini na hatimae atagonga mhuri wa moto kama ipo sahihi, then itawasilishwa kwa msajili kwa ajili ya kuisajili hiyo hati
Kama bado una shida yoyote katika maelezo yangu hapo juuu usisite kuuliza katika uwanja wa comment apo chini au nifikie kupitia njia zangu za mawasiliano .
1.Eneo lako inatakiwa liandaliwe TP drawing "Town Planning drawing" =1,200,00
2.Lipimwe "surveyed" =2,000,000
3.ulipie gharama zifuatazo
- Fees for preparation of certificate of occupancy =10,000
- Registration fees =5000
- Stamp duty =3000
Baada ya hapo unatakiwa uwe na nyaraka zifuatazo ambazo manispaa yako watakupatia wakati wa kukumilikisha kiwanja
-Land form No. 19 inalipiwa 5000
-Barua inayoelezea historia ya kiwanja
-Acknowledgement letter kwa ajili ya malipo ya serikali uliyolipia
-Cheti cha kuzaliwa au kitambulisho cha uraia
Ukikamilisha mambo hayo afisa ardhi mteule wa manispaa yako ataandaa rasimu ya hati na kuiwasilisha kwa kamishna, kamishna ataisaini na hatimae atagonga mhuri wa moto kama ipo sahihi, then itawasilishwa kwa msajili kwa ajili ya kuisajili hiyo hati
Kama bado una shida yoyote katika maelezo yangu hapo juuu usisite kuuliza katika uwanja wa comment apo chini au nifikie kupitia njia zangu za mawasiliano .
AHSANTE SANA!!
0 comments:
Post a Comment