Design with AutoCad
Manyanya Engineering, Tunachora ramani za nyumba aina zote kwa matumizi mbalimabali kama :-
- Makazi (residential house)
- Biashara(commercial buildings)
- Kumbi
- Taasisi
- N.k,
Tunatoa huduma ya ushauri wa kitaalam kipindi cha ku-design il tuweze kukuchorea ramani itakayoendana na :
- mazingira husika
- wakati na ubora wa nyumba kwa matumizi husika
- mpangilio wa vyumba ili kila kitakachowekwa katika ujenzi kiwe na faida kwa mtumiaj
Tukichora tutahusika moja kwa moja kufatilia ujenzi ili kuhakikisha lengo la mteja wetu la kujenga alichokuwa anakiwaza kinafikiwa.Ikiwa lengo letu kubwa ni kuhakikisha tunasimamia ubora zaidi,kujenga kwa gharama stahiki zaidi na kwa mda mchache
Karibu sasa!!!
Tupo kwaajili yako,
- Tutakusikiliza kile unachokiwaza nasi tutakiwakilisha kwa kukiweka kwenye macho yako(Internal=External)
- Kwa kuhakikisha unabaki juu kila siku ,tutakuletea material ya kisasa ,bei nafuu na yenye ubora pamoja na upatikanaji





0 comments:
Post a Comment